First Aid Free Training 19/10/2021

//

Taasisi ya PDS Zanzibar inawatangazia vijana kushiriki katika mafunzo ya bure kuhusu huduma ya kwanza (first aid), mafunzo ni ya siku mbili. Washiriki watafundishwa namna ya kutowa huduma ya kwanza kwa mgonjwa au mtu aliyeumia. Namna bora ya kumuokoa mgonjwa au mtu aliyeumia.

PROGRAM

Siku ya kwanza: nadharia juu ya namna ya kumuokoa muathirika.

Siku ya pili: kufanya kwa vitendo yale yote yaliyosomeshwa siku ya kwanza.

SIKU?

Jumanne 19/10/2021

WAKATI?

Saa 03:30 asubuhi hadi saa 09:00 mchana.

SEHEMU?

Mkwajuni TC

Kaskazini A

Kwa maelezo zaidi

Simu: 0676644411/0625995761

About Us

Our Programs

Volunteers' Experience

News

Contact

Donate Today