Nutrition Training 30/11/2021

//

PDS Zanzibar inapenda kuwatangazia vijana kushiriki katika mafunzo ya lishe (Basic Nutrition).

PROGRAM

Mafunzo yatakua ya siku mbili ( 2 ).

Siku ya kwanza tutajifunza namna ya mlo kamili (Nutritional).

Siku ya pili tutajifunza namna ya kuandaa chakula chenye lishe kwa kutumia kiwango kidogo cha fedha.

SIKU?

Jumanne tarehe 30/11/2021.

WAKATI?

Saa 3:00 asubuhi hadi saa 6:00 mchana.

SEHEMU?

Ukumbi wa CCM Mkoa, Mahonda.

KWA MAELEZO ZAIDI

Tuma jina lako kamili, Namba ya Simu na unapoishi kupitia moja kati ya namba hizi ~ 0672554575 au 0688411345.

PDS is a charitable organization which empowers local people living in the rural areas of Zanzibar by providing skills and additional education.